BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

SIMBA SC YASHIKWA TANGA, AZAM FC YAPIGISHWA GWARIDE NA MAAFANDE WA POLISI MORO SC LIGI KUU TANZANIA BARA.

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEha7GnY4bklAJ4Ip8nVL1Yr5W0KKLTL7_xPGiDCph3933oLxXo4P5xiA0gvb2hjsIdzTl0pnwkoL0LTjOx4vDUIqoWDCYjb_D9tvU3KSDQiR5mXWnAVsTPfMjQezc14Txp4T4Nb1yb7XkIW/s1600/Simba.jpgMabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania bara Azam FC imeshikwa sharti na Polisi Moro SC baada ya mchezo wao kumaliza kwa sare ya bao 2-2 katika uwanja wa jamhuri Morogoro.

Hali hiyo iliwakuta tena klabu ya Simba SC baada ya kuvutwa sharubu na Coastal Union katika uwanja wa Mkwakwani Tanga kwa kusalazimishwa sare tasa ya bao 0-0 huku Stend United nayo ikiambulia sare ya bao 1-1 dhidi ya wenyeji wao Ndanda FC katika uwanja wa Nangwanda mjini Mtwara.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: