Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania bara Azam FC imeshikwa sharti na Polisi Moro SC baada ya mchezo wao kumaliza kwa sare ya bao 2-2 katika uwanja wa jamhuri Morogoro.
Hali hiyo iliwakuta tena klabu ya Simba SC baada ya kuvutwa sharubu na Coastal Union katika uwanja wa Mkwakwani Tanga kwa kusalazimishwa sare tasa ya bao 0-0 huku Stend United nayo ikiambulia sare ya bao 1-1 dhidi ya wenyeji wao Ndanda FC katika uwanja wa Nangwanda mjini Mtwara.
MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO
Home / michezo
/ SIMBA SC YASHIKWA TANGA, AZAM FC YAPIGISHWA GWARIDE NA MAAFANDE WA POLISI MORO SC LIGI KUU TANZANIA BARA.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment