Basi la Luwinzo linalofanya safari ya kusafirisha abiria kati ya Njombe na Dar es Salaam baada ya kupata ajali katika hifadhi ya Mikumi marchi 19/ 2015 kwa kugongana na basi ndogo la Msanga Line Express na kusababisha vifo vya watu saba kufariki dunia papo hapo na wengine 17 kujeruhiwa ikiwa ni siku mbili tu baada ya kutokea kwa ajali nyingine iliyohusisha basi la FM Safari na fuso marchi 17 mwaka huu, lenyewe likisababisha vifo vya watu wawili na abiria wanane kujeruhiwa mkoani Morogoro.PICHA/MTANDA BLOG.
MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO
Home / kitaifa
/ ABIRIA TISA WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MBILI NDANI YA HIFADHI YA MIKUMI MOROGORO.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

0 comments:
Post a Comment