BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

KIFO CHA KAPT JOHN KOMBA NUSURA KIPOTEZE UHAI WATU WATATU RUVUMA.


Watu zaidi ya watatu wamenusurika kifo baada ya gari yao kupata ajali eneo la Lutukila mkoani Ruvuma katika barabara kuu ya Njombe -Songea wakielekea kumzika mbunge wa Mbinga Magharibi Kepten John Komba.


Ajali hiyo ilitokea Majira ya saa 7 usiku lakini katika tukio hilo hakuna aliyepoteza Maisha zaidi ya gari kujeruhiwa likiwa na abria watatu, wawili kati yao ni wanawake na mwanaume


Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: