BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MKUU WA MKOA WA KIGOMA AONGOZA WANANCHI KUAGA MIILI YA MWALIMU NA WANAFUNZI WALIOPIGWA NA RADI.


Askari wa jeshi la wananchi wa Tanzania na wale wa jeshi la polisi wakibeba moja ya miili ya wanafunzi waliokufa kwa kupigwa radi ili kuingiza ndani ya gari tayari kwa taratibu za mazishi. (Picha zote na Fadhili Abdallah).

Mkuu wa mkoa Kigoma Issa machibya (katikati) akiongoza mamia ya wananchi wa mkoa Kigoma kuaga miili ya watu waliokufa kwa kupigwa na radi mjini Kigoma.
Balozi mdogo wa Burundi katika ubalozi mdogo mjini Kigoma akiaga miili ya Mwalim, wanafunzi sita na mwananchi mmoja wa Manispaa ya Kigoma ujiji waliokufa kwa kupigwa na radi.

Mmoja wa wazazi ambaye mtoto amefariki kwa kupigwa na radi akipita kuaga katika miili ya wanafunzi,Mwalim na mmoja wa wananchi waliofariki kwenye tukio hili ambapo hapa ilibidi kusaidiwa na ndugu na jamaa baada ya kuishiwa nguvu.

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: