BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

AFISA USALAMA APEKULIWA KWA TUHUMA ZA MIPANGO YA KUFANYA UHALIFU DHIDI YA TAIFA.

 Picha askari akimpekea mtu katika moja ya majukumu yao.Picha kwa msaada wa mtandao.

Wakuu wa Nigeria wanasema kuwa wamevamia mara kadha nyumba za mshauri wa usalama wa zamani.

Idara ya usalama wa taifa imesema kuwa uvamizi huo umefanywa kufuatana na taarifa za upelelezi za kuaminika, zilizomhusisha Mohammed Sambo Dasuki na mipango ya kufanya uhalifu dhidi ya taifa.

Ilisema kuwa bunduki na zana nyengine za kijeshi zilikutikana kwenye nyumba hizo zilizovamiwa.

http://s2.reutersmedia.net/resources/r/?m=02&d=20150122&t=2&i=1019017977&w=644&fh=&fw=&ll=&pl=&r=LYNXMPEB0L0JEDasuki alitolewa juma lilopita katika kazi yake ya kuishauri serikali kuhusu usalama.BBC
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: