Taarifa hiyo imeeleza kuwa majambazi hayo hawakuiba benki hiyo ya Exim isipokuwa walikuwa wanafuatiliwa na polisi wakiwa katika gari aina ya Noah kutoka Posta na walipofika mzunguko wa magari wa Clock Tower wakaanza kurushiana risasi.
Baadhi ya majambazi wametiwa nguvuni na askari polisi wakiwemo watatu waliokuwa wanatumia gari aina ya toyota Spacio. Chanzo:Jamiii Forums

0 comments:
Post a Comment