Kwa mujibu wa msemaji wa chama hicho cha Chadema, Tumaini Makene ameeleza tayari ameitisha mkutano na waandishi wa habari ambapo chama hicho kinachounda umoja wa Katiba ya Wananchi-UKAWA kitamtambulisha mbunge huyo rasmi kama mwanachama wake na itaelezwa sababu za kujitoa ndani ya CCM na kujiunga CHADEMA.
BUNGE WA CCM KATIKA MJI WA KAHAMA JAMES LEMBELI AJIUNGA RASMI NA CHADEMA.
Kwa mujibu wa msemaji wa chama hicho cha Chadema, Tumaini Makene ameeleza tayari ameitisha mkutano na waandishi wa habari ambapo chama hicho kinachounda umoja wa Katiba ya Wananchi-UKAWA kitamtambulisha mbunge huyo rasmi kama mwanachama wake na itaelezwa sababu za kujitoa ndani ya CCM na kujiunga CHADEMA.

0 comments:
Post a Comment