El Chapo Guzman atoroka jela Mexico Aliyekuwa kiongozi wa moja ya makundi makubwa zaidi ya yanayoendesha biashara za madawa ya kulevya nchini Mexico Joaquin El Chapo Guzman ametoroka kutoka gereza moja lenye ulinzi mkali .
Alitoroka kutoka gereza la Altiplano nje ya mji mkuu wa Mexico City
Maafisa wanasema kuwa shughuli za kumtafuta zinaendelea na safari za ndege kutoka uwanja ulio karibu zimesimamishwa. Hii Ndiyo mara ya pili Guzman anatoroka kutoka gerezani.BBC

0 comments:
Post a Comment