BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

JESHI LA POLISI LAWAZUIA CHADEMA NA CCM KUTUMIA VIKUNDI VYAO VYA ULINZI KATIKA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU NCHINI


Jeshi la Polisi limevipiga marufuku vikundi vyote vya ulinzi vinavyomilikiwa na vyama vya siasa nchini.

Paul Chagonja Amesema, amepiga marufuku vikundi vyote vya ulinzi vya vyama vya siasa na huku akitoa onyo kali kwa atakayekaidi.

Chanzo: EATV
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: