BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

KITUO CHA TELEVISHENI CHA CNN CHAKIPIGIA MAGOTI NA KUOMBA RADHI KWA NCHI YA KENYA KUTOKANA NA RIPOTI YAKE POTOFU.


''CNN wameomba msamaha kwa ripoti yao ya uongo'' Kenyatta

Baada ya malumbano makali kati ya wa-Kenya na shirika la habari la habari la kimataifa la CNN,limeomba radhi Kenya kuhusiana na taarifa iliyopeperushwa hewani,ikidai kuwa Kenya ni kitovu cha ugaidi.

Mkurugenzi mkuu, wa CNN Tony Maddox alizuru Nairobi hiyo jana na kukutana na uongozi wa Kenya na kuomba radhi.

Rais Uhuru Kenyatta kupitia mtandao wake wa Twitter alisema kuwa Bwana Maddox ameomba radhi kibinafsi.

Rais Kenyatta alisema kuwa Maddox alikiri kuwa Mwandishi wa habari hiyo alikosea.

'Kwa kweli Kenya sio kitovu cha ugaidi'' alisema Maddox Kenyatta 'CNN wamekiri kuwa ripoti hiyo haikuwa ya kweli' Wakeny.BBC
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: