BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MGOMBEA UBUNGE ATEKWA WAKATI AKIREJESHA FOMU NA KUNYANG'ANYWA

 
Mgombea ubunge jimbo la Shinyanga mjini na Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa, Patrobas Katambi inasemekana ametekwa muda mfupi uliopita na kunyang'anywa fomu zake za ubunge.

Nimezungumza na Mwenezi wa jimbo hilo na kuthibitisha hilo lakini pia simu ya mgombea haipatikani.

Nimeongea pia na Mbunge, Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha hili.CHANZO:http://www.jamiiforums.com
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: