BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

DK MAGUFULI AKUMBANA NA UMATI MKUBWA WA WATU TABORA MKUTANO WA KAMPENI

Mgombea urais wa ccm Dk John Pombe Magufuli amepokewa vizuri na wakazi wa mkoa wa Tabora katika mkutano wake wa kampeni kama watu walivyofurika katika uwanja wa michezo wa Ally Hassan Mwinyi kumsikiliza wakati akinadi sera za chama hicho ili kuweza kupata ridhaa ya kumchagua katika nafasi hiyo ya urais pamoja na kuwaombea wabunge na madiwani kuwapigia kura ya ndiyo katika uchaguzi mkuu utaofanyika Oktkba 25 mwaka huu.

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: