Balozi msaidizi wa jamhuri ya watu wa China, Zang
Biao akikabidhi sehemu ya vifaa ikiwemo mipira kwa wanafunzi wa shule ya msingi Mvumi wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro. Picha na Joseph Malembeka)
Balozi msaidizi wa Jamhuri ya watu wa China, Zang Biao
kati kati ya wanafunzi wawili ishara ya kukabidhi madawato 80 katika shule ya
msingi ya Mvumi na Chagongwe huku nyuma kukiwa na viongozi mbalimbali wakiongozwa na Mkuu
wa wilaya hiyo, John Henjewele.
Mkuu wa wilya Kilosa John Henjewele akihutubia katika
hafla fupi ya kukabidhi vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi
Mil.24 vikiwemo vifaa vya shule na kilimo kwa lengo la kuondoa umasikini
wilaya ya Kilosa.
Balozi Msaidizi wa Jamhuri ya watu wa China, Zang Biao akiitazama sanamu ya mwanamke wa kiafrika muda mufupi baada ya kukabidhiwa kutoka kwa Mkuu wa wilaya ya Kilosa, John Henjewele ikiwa ni kumbukumbu na ishara ya kuhusiano baina ya nchi hiyo katika kijiji cha Peapea kilichopo wilayani humo mkoani Morogoro.
0 comments:
Post a Comment