BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

RAIS BARRACK OBAMA AKITIMUA MBIO KUWAHI NDEGE BAADA YA KUCHELEWA.

Habari zilizogonga vichwa vya habari duniani ni tukio la Rais wa Marekani Barak Obama Kukimbia mbio kuwahi ndege baada ya kutumia muda wake vibaya na kwa mujibu wa taarifa toka Ikulu zinasema muda wa ndege ya Rais unapowadia basi huondoka bila kujali Rais yupo au hayupo kwa ajili ya usalama.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: