BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

KIAMA CHA SIMU FEKI KUWAKUMBA WATU WACHACHE TU KESHO SAA 6:00 USIKU

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewakumbusha wananchi kwamba kesho saa 6.00 usiku ndiyo ukomo wa mawasiliano ya simu bandia za kiganjani.

Pia imesema mfumo huo utadhibiti wizi wa simu.

Mhandisi James Kilaba amesema baada ya mamlaka hiyo kutoa elimu kwa kushirikiana kampuni za simu, hadi sasa simu zitakazozimwa ni asilimia tatu tu huku simu halisi ambazo hazitaathirika ni asilimia 97.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: