BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MUME, MKE WAKIHAMA CHADEMA KWA SABABU HAKUNA DEMOKRASIA YA KWELI NA KUTIMUKIA UDP


Ole Medeye akionesha kati ya uanachama ya UDP
Aliyekuwa mfuasi wa Chadema Goodlack Ole Madeye leo amehamia Chama cha UDP kwa kile alichodai ndani ya chama hicho hakuna demokrasia ya kweli.

Amesema anachukizwa na kitendo cha wabunge wa chama hicho na vyama vingine vya upinzani kususia vikao vya Bunge.

Ole Madeye ambaye amehamia chama hicho ikiwa ni baada ya miezi tisa tangu alivyojiunga na Chadema akitokea CCM Agosti 2015, amekabidhiwa kadi ya UDP na Mwenyekiti wa chama hicho, John Cheyo akiwa na wafuasi wengine tisa wapya kutoka Chadema akiwamo mke wake, Anatonia Lekule. 


Amesema alipitia katiba za vyama vyote hajaona katiba inayosimamia misingi ya kidemokrasia ya kweli na kwamba UDP ndiyo chama pekee Tanzania chenye katiba inayotetea demokrasia.MWANANCHI
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: