BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BOSI ANAPOAMUA KUPIGA PICHA NA MFANYAKAZI WAKE ANAYEUCHAPA KAUSINGIZI KAZINI


Bosi wa Virgin Group, Sir Richard Branson katika tembelea zake za kushtukiza katika ofisi zake ulimwenguni alipita Australia na kumkuta huyu mfanyakazi wake (pichani) akiwa ameuchapa kabisa kausingizi.


Bosi ya baada ya kuona hali hiyo akaamua kupiga naye kabisa picha kwanza pembeni yake kwachaaa. 

Kwa habari zaidi katika tukio hilo tembelea: https://www.virgin.com/richard-branson/australian-adventurehttps://www.virgin.com/richard-branson/australian-adventure
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: