BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

HABARI MPYA !! CHADEMA YASHINDA KESI YA UCHAGUZI DHIDI YA CCM JIMBO LA MLIMBA NA KILOMBERO MOROGORO



Kesi iliyofunguliwa ya kupinga ushindi wa wabunge wa Chadema katika majimbo ya Kilombero na Mlimba, yametupiliwa mbali pingamizi hizo na majaji wa mahakama kuu waliokuwa wakisikiliza kesi hizo na leo kutoa hukumu ambao waliokuwa wagombea ubunge katika majimbo hayo CCM, Abubakari Asenga Kilombero na Godwin Kunambi Mlimba mahakama kuona ushahidi uliosikilizwa kutokuwa na nguvu ya kutengua ubunge kwa wabunge hao.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: