BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

SIMBA SC ILIVYOIBUKA NA USHINDI WA BAO 6-0 DHIDI YA POLISI MORO SC MOROGORO


Mshambuliaji wa Simba SC, Ibrahim Ajibu akimiliki mpira mbele ya ya mlinzi wa Polisi Moro SC, Omari Alawi wakati wa mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye uwanja wa HighLand Morogoro ambapo Simba inayojiandaa na ligi kuu Tanzania bara msimu wa mwaka 2016/2017 ilishinda bao 6-0 wakati Polisi yenyewe ipo katika maandalizi ya ligi daraja la kwanza.PICHA/JUMA MTANDA
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: