BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

AJIBU NA MAVUGO WAINOGESHA SIMBA DAY KWA KUIANGUSHIA MVUA YA MAGOAL FC LEOPARD YA KENYA UWANJA WA TAIFA DAR ES SALAAM


Simba ilijipata bao nne kupitia kwa mshambuliaji wake mpya wa kimataifa, Laudit Mavugo huku bao la tau likiwekwa kimiani na mshaambuliaji wa pembeni Shiza Kichuja dhidi ya FC Leopards ya Kenya kwa bao 4-0.

Mshambuliaji mzawa, Ibrahim Ajib alifunga mabao mawili katika kipindi cha kwanza na pili dhidi ya wapinzani wao ambao waliambulia patupu
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: