BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

YANGA SC YAPATA USHINDI WA KWANZA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA 2015 - 2016 MBELE YA MO BEJAIA YA ALGERIA

Dakika 90 za mpambano baina ya Yanga dhidi ya Bejaia zinamalizika na klabu ya Yanga SC kuibuka na ushindi wa kwanza wa bao 1-0 katika hatua ya makundi na kuamsha matumaini ya kusonga mbele.

Bao la Yanga lilifungwa na mshambuliaji na Amiss Tambwe dakika ya pili katika mchezo huo huku kila timu ikikosa mabao ya wazi kutokana na nafasi walizotengeneza.

Kikosi cha Yanga SC kilichoanza ni pamoja na:
1.Deogratius Munishi Dida
2.Juma Abdul Japhary
3.Haji Mwinyi Ngwali.
4.Andrew Vicent Dante
5.Vicent Bossou
6.Mbuyu Twite Junior
7.Saimon Happygod Msuva
8.Thaban Michael Kamusoko
9.Amiss Jocelyn Tambwe.
10.Obrey Cholla Chirwa
11.Deus David Kaseke

Akiba.
Benno Kakolanya
Oscar Fanuel Joshua
Malimi Marcel Busungu
Haruna Niyonzima Fabregas
Juma Said Makapu
Kelvin Patrick Yondani
Juma Mahadhi Neymar.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: