BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

DAKTARI FEKI ARUHUSIWA KUJIENDELEZA KUSOMA YA UDAKTARI.


Kamati ya maswala ya afya nchini Kenya imependekeza Daktari feki aliyekamatwa nchini humo kuruhusiwa kujiendeleza na masomo ya udaktari.


Kauli hiyo imetolewa baada ya kubainika kuwa daktari huyo feki aliwafanyia upasuaji wagojwa tisa kati ya hao mmoja ambae alikuwa mjamzito ndio alipoteza maisha ila alifanikiwa kumuokoa mtoto.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: