BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BREAKING NEWS !! MABWENI YA MTWARA TECH YATEKETEA KWA MORO

Mabweni ya Mtwara Tech yanateketea kwa moto mkali huku chanzo cha ajali hiyo kikiwa bado hakijafahamika.Picha kwa hisani ya mdau, Abdulaziz Ahmeid
 
Mtanda Blog inaendelea kufuatia kwa karibu juu ya tukio hilo.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: