Waandishi waliokamatwa ni pamoja na, Godfrey Thomas ayo tv, Alphonce kusaga Triple A, Filbert Rweyemamu mwananchi, Husein Tuta Itv, Joseph Ngilisho Sunrise radio, Geofrey Steven Radio 5, Janeth Mushi Mtanzania na Zephania Ubwani The Citizen.
Wengine ni Elihuruma Yohani mwakilishi wa Tanzania Daima na Idd uwesu Azam Tv ambao kwa wameachiwa huru baada ya kufikishwa kituo cha kati cha polisi.
0 comments:
Post a Comment