BREAKING NEWS ! YANGA SC YAPATA PIGO
TANZIA
Mwanachama Maarufu wa Yanga, Ally Yanga amefariki kwa ajali ya gari wakati akiwa katika mbio za Mwenge wa Uhuru katika wilaya ya Mpwapwa mkoa wa Dodoma leo.
Maiti ya mpenzi huyo wa soka aliyejizoa sifa kibao kutokana na staili ya muonekano wake akizishabikia klabu ya Yanga na timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) umehifanyiwa katika kijiji cha Chipopolo mkoani humo.
Innah Lilah wainah illah rajiuun.
0 comments:
Post a Comment