BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MAFUNZO YA MFUMO MPYA WA TEHAMA KUANDA MIPANGO YA BAJETI ZA MAMLAKA ZA SERIKALI WAFUNGULIWA MOROGORO

Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Clifford Tandari, akifungua mafunzo ya mfumo mpya ulioboreshwa wa Tehama utakaotumika kuandaa Mipango na Bajeti za Mamlaka za Serikali za Mitaa na sekta zote za umma nchini, mkoani Morogoro jana. Mafunzo hayo yanafadhiliwa Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID).   Mkurugenzi Msaidizi wa Miundombinu ya TEHAMA, Ofisi ya Rais Tamisemi, Baltazar Kibola, akiwasilisha mada juu ya mfumo mpya wa Tehama ulioboreshwa ujulikanao kama ‘PlanRep’ utakaoanza kutumika kuandaa Mipango na Bajeti za Mamlaka za Serikali za Mitaa na sekta zote za umma, mkoani Morogoro jana. Mafunzo hayo yanafadhiliwa Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID).
 Meneja Mifumo ya TEHAMA kutoka Mradi wa PS3, Revocatus Mtesigwa, akizungumza na washiriki wa mafunzo ya namna ya kutumia mfumo mpya ulioboreshwa wa Tehama (hawapo pichani) utakaotumika kuandaa Mipango na Bajeti za Mamlaka za Serikali za Mitaa, mkoani Morogoro jana

Washiriki wa mafunzo ya mfumo mpya ulioboreshwa wa Tehama utakaotumika kuandaa Mipango na Bajeti za Mamlaka za Serikali za Mitaa na sekta zote za umma, wakifuatilia mada mbalimbali zinazotolewa na wataalam kutoka Tamisemi na Mradi wa PS3, mkoani Morogoro jana. Mafunzo hayo yanafadhiliwa Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID).
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: