Sheikhe mkuu wa mkoa wa Morogoro, Abdallah Mkangambe enzi za uhai wake.
Sheikhe mkuu wa mkoa wa Morogoro, Abdallah Mkangambe akiomba dua ya kumuombea rais Dk John Magufuli aepukane na maadui iliyofanyika kwenye uwanja wa jamhuri Morogoro Jun 17, 2017 uwanja wa jamhuri Morogoro, wa kwanza kushoto ni Kamanada wa polisi Morogoro, Ulrich Matei, Mbunge wa jimbo la Morogoro mjini, Abdullaziz Abood na Mchungaji wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Emmanuel Tengeneza.
Sheikhe mkuu wa mkoa wa Morogoro amefariki dunia leo katika hospitali ya rufaa ya taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam ambapo mazishi ya kiongozi huyo kwa kiislam yanatarajia kufanyika kesho kwenye makaburi ya Kola.
MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO
Home / kitaifa /
slider
/ HUYU NDIYE SHEIKH MKUU WA WAISLAM MKOA WA MOROGORO ALIYEFARIKI DUNIA MUHMBILI.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment