BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

ALBINO ALIYEKATWA MKONO MELELA MKOANI MORO.


Muuguzi daraja la pili, Theodory Babwanga akimhudumia Saidi Abdallah (41) (Albino) mkazi wa kitongoji cha Ongolelo katika kijiji cha Melela wilayani Mvomero mkoa wa Morogoro katika ward namba moja ya hospitali ya rufaa ya mkoa huo baada ya kukatwa mkono na watu wasiojulikana wakati akifunga kuni katika shamba lake kwa ajili ya biashara ili kupata pesa za matumizi.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: