BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

AJALI YA PIKIPIKI NA GARI.


Pikipiki T 792 BFN ikiwa chini baada ya kutokea ajali na gari 199 BCQ katika makutano ya barabara ya Kichangani na Kilakala Manispaa ya Morogoro ambapo mwendesha pikipiki alipoteza maisha katika ajali hiyo hata hivyo chanzo cha ajali hiyo hakikuweza kufahamika mara moja
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: