BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

WAPIGA PICHA NASI TUMO MEI MOSI 2010.


Baadhi ya Wapiga Picha Manispaa ya Morogoro wakiwa wamebeba bango lenye ujumbe unaosomeka “ picha ni kiungo muhimu katika kila nyanja” huku wakiwa na kauli mbiu ya uchaguzi mkuu 2010 uwe ni ufumbuzi wa rushwa ni adui wa haki wakati wa maandamano ya kilele cha Mei Mosi ambapo wapiga picha hao waliungana na wafanyakazi duniani kuadhimisha sherehe hizo zilizofanyika katika kimkoa uwanja wa Jamhuri mjini hapa.



Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: