Wajasiliamali wa kikundi cha Msamvu Makers Manispaa ya Morogoro cha kutengeneza magodolo wakiyatarisha magodolo hayo kuanzia hatua ya awali na mwisho katika kiwanda chao katika barabara ya Korogwe mjini hapa kisha kuyauza kwa wateja wao ambapo huuzwa kati ya sh 5000 hadi sh 8000.
MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment