BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MAGODOLO YA MAKERS YA MSAMVU HAYO.


Wajasiliamali wa kikundi cha Msamvu Makers Manispaa ya Morogoro cha kutengeneza magodolo wakiyatarisha magodolo hayo kuanzia hatua ya awali na mwisho katika kiwanda chao katika barabara ya Korogwe mjini hapa kisha kuyauza kwa wateja wao ambapo huuzwa kati ya sh 5000 hadi sh 8000.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: