BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

VIATU MNADA WA SABASABA MORO.

Mfanyabiashara wa kuuza viatu Christopher Namkumba akivuta vumbi viatu wakati akisubiria wateja wake katika mnada wa soko la nguo Sabasaba Manispaa nya Morogoro ambapo alisema pea moja huuza kati ya sh 7000 hadi sh 18000 kulinga na aina ya viatu.



Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: