BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

PROFESA ROMANUS ISHONGOMA




Meya wa Manispaa ya Morogoro Profesa Romanus Ishongoma akimkadhi cheti Elizabert Matembo (8) mwanafunzi wa darasa la tatu shule ya msingi Solomon Mahlangu wakati wa utoaji wa zawadi na vyeti kwa wanafunzi waliofanya vizuri mwaka 2009 katika hafla iliyofanyika shuleni hapo.


Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: