BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

OMBAOMBA KAZINI JAMATI.


Baadhi ya ombaomba katika Manispaa ya Morogoro wakiwaomba msaada wa pesa wasamalia wema katika mtaa wa Jamati ili kuweza kupata pesa za kujikimu hasa katika kipindi cha sikukuu ya krismasi mjini hapa.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: