Askari wa usalama barabarani mkoa wa Morogoro wakichukua maelezo eneo la Msamvu Maproco baada ya kutokea ajli ya iliyohusisha gari lenye namba ya usajili T 823 BAJ na pikipiki ambapo mwendesha pikipiki alidaiwa kuvunjika mguu katika ajali hiyo na kukimbizwa katika hospitali ya mkoa huo.
MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment