BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MIWA TUNATAFUTA WATEJA.


Wachuuzi wa miwa katika Manispaa ya Morogoro wakikokota baiskeli zilizoshehe miwa wakati wakitoka kijiji cha Misonge kwa ajili ya kuwauzia wateja wao ambapo miwa hiyo huuzwa kati ya sh 500 hadi sh 800 kwa mmoja mjini hapa.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: