BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BAADA YA KUHITIMU MAFUNZO YA ULINZI SHIRIKISHI JAMII KATA YA SABASABA MANISPAA YA MOROGORO.

Askari wa ulinzi shirikishi jamii kata ya Sabasaba Manispaa ya
Morogoro wakimdhibiti kijana aliyeigiza igizo la mwizi, Iddi Malekela
baada ya kupora simu na kudhibitiwa na askari hao wakati wakionyesha
onyesho la namna ya kukamata wezi kwa wageni waalikwa katika hafla ya
kumaliza mafunzo yao yaliyofanyika ofisi za kata hiyo mjini hapa.


Mkuu wa Upelelezi wa makosa ya jinai mkoa wa Morogoro Hamisi Seleman
kulia kifafanua jambo wakati wa hafla ya kumaliza mafunzo ya ulinzi
shirikishi jamii kwa vijana wa kata ya Sabsaba Manispaa ya Morogoro,
wa kwanza kushoto ni Katibu Tawala wilaya ya Morogoro Alfred Shayo na
katikati ni mkuu wa kituo kikuu cha polisi Morogoro, Thomas Kiondo.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: