Askari wa usalama wa barabara mkoa wa Morogoro akimwandikia faini mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda baada ya kumkamata kijana huyo kwa madai ya kukeuka sheria za usalama barabarani katika eneo la kivuko cha watembea kwa miguu cha stendi kuu ya daladala yaendayo nje ya Manispaa hiyo mjini hapa.
SHERIA KWANZA USALAMA BARABARANI.
Askari wa usalama wa barabara mkoa wa Morogoro akimwandikia faini mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda baada ya kumkamata kijana huyo kwa madai ya kukeuka sheria za usalama barabarani katika eneo la kivuko cha watembea kwa miguu cha stendi kuu ya daladala yaendayo nje ya Manispaa hiyo mjini hapa.
0 comments:
Post a Comment