BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MENEJA WA BENKI YA KCB MKOA WA MOROGORO AKIPATA MSOSI KATIKA HAFLA YA KUAGA MWAKA 2011 NA KUKARIBISHA MWAKA 20122 HOTELI YA ARC.

MENEJA WA BENKI YA KCB MOROGORO CARLOS MSIGWA AKILA CHAKULA NA MGENI WAKE KULIA WAKATI WA HAFLA YA KUAGA MWAKA 2011 NA KUUKARIBISHA MWAKA 2012 KATIKA HOTELI YA KITALII YA ARC ILIYOPO AREA SIX NDANI YA MANISPAA YA MOROGORO.


HAPA MHUDUMU WA HOTELI HIYO AKIMTENGEA CHAKULA MANEJA HUO KATIKA HAFLA HIYO.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: