BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

UCHAFU ENEO LA SOKO KUU LA MKOA WA MOROGORO


Mkazi wa Manispaa ya Morogoro akitupa takangumu chini ya chombo cha kuhifadhia takangumu kufutia chombo chicho kuelemewa na uchafu eneo la soko kuu la mkoa huo wa Morogoro ambapo hali hiyo inatokana na halmashauri ya Manispaa kushindwa kuzoa taka hizo kwa wakati jambo ambalo limekuwa likileta kero kwa wafanyabiashara wanaozunguka eneo hilo kutokana na kutoa harufu mbaya mkoani hapa.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: