BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

DKT JK AWAAPISHA WAJUMBE WA TUME YA KURATIBU MAONI YA WANANCHI IKULU.

 Rais Jakaya Kikwete  akizungumza na Makamu wa rais, Dkt, Mohamed Ghalib Bilal, Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika sherehe za kuwaapisha wajumbe wa Tume  ya kuratibu Maoni  ya Wananchi Kuhusu Kuundwa kwa Katiba Mpya zilizofanyika Ikulu jijini Dar es salaam Aprili 13,2012.

Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Tume ya Kuratibu Moani ya Wananchi Kuhusu Kuundea kwa Katiba Mpya baada ya kuwaapisha, Ikulu jijini Dar es salaam, Aprili 13, 2012. (Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: