BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

SANAMU YA HAYATI EDWARD MORINGE SOKOINE.

SANAMU YA HAYATI EDWARD MORINGE SOKOINE AMBAYE ALIKUWA WALIZIRI MKUU MIAKA YA 1984 IKIWA NJE YA KANISA LA SOKINE WAME-DAKAWA NJE KIDOGO NA ENEO AMBALO ALIPATA AJALI YA GARI NA KUFARIKI DUNIA MIAKA 28 ILIYOPITA KATIKA BARABARA KUU DODOMA-MOROGORO WAKATI AKITOKEA MKOANI DODOMA NA KUELEKEA JIJINI DAR ES SALAAM KUPINDUKA ENEO LA WAME-DAKAWA WILAYA YA MVOMERO MKOANI MOROGORO.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: