BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MAANDALIZI YA MAONYESHO YA WAKULIMA NANE NANE KANDA YA MASHARIKI MOROGORO.

Mfanyakazi wa Bodi ya Pamba Tanzania, Mathayo Gerard akipulizia dawa ya kuua wadudu katika mimea ya zao la pamba aina ya mkombozi katika vipando vya bodi hiyo kwa ajili ya maonyesho ya wakulima kanda ya mashariki yanayofanyika kila mwaka kwenye uwanja wa kimataifa Mwl Julius Nyerere nane nane mkoani Morogoro.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: