BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

VIJANA WAKIPALILIA KATIKA SHAMBA LA MAHINDI.

Wakazi wa kata ya Kichangani Manispaa ya Morogoro, Omari Dago na rafiki yake Mohamed Mavunde kulia wakipalilia mahindi katika shamba lao lililopo katika kata hiyo ili mimea hiyo iweze kustawi vizuri katika msimu huu wa kilimo mkoani hapo.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: