BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MAPOKEZI YA LEMA KATIKA JIJI LA ARUSHA BAADA YA KUSHINDA RUFAA MAHAKAMA KUU NA KUREJESHEWA UBUNGE.


Wafuasi wa Lema wakishangilia barabarani wakati Mbunge huyo akipita.
 Mbwembwe za waendesha pikipiki wengine ziliwashinda na kuanza kuanguaka jambo ambalo ni hatari.
 Furaha hiyo ilikuwa kwa kila aliye Mwanachadema.
 Mke wa Mbunge Godbless Lema akiwa kwenye gari pamoja na mtoto wao wakati wa mapokezi hayo.
 Lema Arusha anafananishwa na Rais Barack Obama

Furaha ya namna hii ya kupita kikomo inaweza kusababisha watu kupoteza maisha endapo ajali inaweza kutoka kwani ni uvunjaji wa sheria za usalama barabara kama wanavyooneka vinaja hawa wakining'inia katika daladala bila hofu.
 
 
MAPOKEZI ya Kihistoria katika jiji la Arusha yamefanyika leo wakati wafuasi na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),wakimpokea Mbunge wa Arusha Mjini  Godbless Lema.
 
 Makundi makubwa ya wanachama hao na wafuasi walimiminika kwa wingi kuanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) hadi katika Viwanja vya Kilombero mjini hapa.

Mapokezi hayo yamefanyika wakati Godbless Lema alipokuwa akirejea mjini Arusha akitokea jijini Dar es Salaam kusikiliza hukumu ya Rufani ya Keshi yake ya Kuvuliwa Ubunge iliyotolewa maamuzi ya kumrtejeshea Ubunge wake Desemba 21,2012.

Maelfu ya wananchi wakiwa katika msafara mrefu zaidi ya pikipiki 500 na magari ulianzia Uwanja wa Ndege KIA mara baada ya Mbunge huyo kuwasili uwanjanai hapo majira ya saa 4:20 Asubuhi
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: