BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MBOWE AONGOZA MSAFARA LEMA, WAISHIA MAKAO MAKUU YA CHADEMA


 Mwenyekiti Mbowe akihutubia wafuasi wa chama chake makao makuu baada ya Lema Kurudishiwa ubunge na mahakama ya rufaa
 Mwanachama akiwa na bango linalosema SAY NO TO TBC.ikumbukwe kuwa kamati kuu ya chama ilishatangaza mgogoro na TBC.
Umati wa wanachama wakiwa makao makuu
Lema akiongea na viongozi wa chadema, Lwakatare(mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa taifa) na John mrema (mkurugenzi wa Bunge na Halmashauri)
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: