BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

TASWIRA YA MAPOKEZI YA MBUNGE WA JIMBO LA ARUSHA MJINI, GODBLES LEMA BAADA YA KUSHINDA RUFAA MAHAKAMA KUU JIJINI DAR ES SALAAM




Msafara wa wafuasi wa chadema kutoka mkoa wa arusha wakielekea uwanja wa ndege wa kimataifa wa kilimanjaro tayari kumpokea mbunge wao Mh Godbles Lema aliyeshinda rufaaa yake jana jijini dar es salaa..


Msafara wa wafuasi wa chadema ukikatika katika barabara kuu ya arusha moshi kuelekea kia


Hili ni gari la wazi lililoandaliwa maalum kwa ajili ya Mbunge huyo..
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: