BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

RAIS OBAMA APONGEZA MAENDELEO YA KIUCHUMI AFRIKA.

Rais wa Marekani  Barack Obama alipokutana na viongozi wa Afrika huko White House viongozi hao kutoka kushoto ni rais Macky Sall wa Senegal, rais Joyce Banda wa Malawi, Obama, rais  Ernest Bai Koroma wa  Sierra Leone na waziri mkuu wa Cape Verde Jose Maria Pereira.Rais wa Marekani Barack Obama alipokutana na viongozi wa Afrika huko White House viongozi hao kutoka kushoto ni rais Macky Sall wa Senegal, rais Joyce Banda wa Malawi, Obama, rais Ernest Bai Koroma wa Sierra Leone na waziri mkuu wa Cape Verde Jose Maria Pereira.Rais Barack Obama akiwa na rais Banda wa Malawi,Rais wa  Sierra Leone  Ernest Bai Koroma; na waziri mkuu wa Cape Verde José Maria Pereira Neves.

RAIS wa Marekani Barack Obama alikuwa mwenyeji wa viongozi wa Cape Verde, Malawi, Senegal na Sierra Leone katika White house  alhamisi , akisifu hatua kubwa za  uchumi  nchi zao zimefanya pamoja na  maendeleo  ya kuimarisha utawala wa kidemokrasia.

Bw.Obama alisema kwamba wageni wake wote wa Afrika walikuwa na changamoto zao za kisiasa nyumbani,  ikiwa ni pamoja na vita vya wenyewe kwa wenyewe Sierra Leone, mzozo wa hivi karibuni wa kikatiba  huko Malawi  na mzozo wa kisiasa huko senegal , hata hivyo nchi hizo zimefanikiwa kudumisha utulivu na kupata maendeleo ya kiuchumi.

Viongozi katika mkutano huo walikuwa ni Ernest Koroma wa SierraLeone , rais wa Senegal Macky Sall , waziri mkuu wa Cape Verde Jose Maria Pereira na rais wa Malawi Joyce Banda.  

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: