BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

YANGA SPORT CLUB YAENDELEZA USHINDI KATIKA MBIO ZA UBINGWA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA KWA KUILAZA RUVU SHOOTING BAO 1-0.

KWA UFUPI.

Jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam Yanga iliandika ushindi wake wa 15 msimu huu katika mechi 20 baada ya kuifunga Ruvu Shooting kwa bao 1-0, shukrani kwa bao la Hamis Kiiza dakika ya 48.Mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva (kushoto) akifanyiwa faulo na beki wa Ruvu Shooting, Mau Bofu wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Bara kweney Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana. 
Picha na Michael Matemanga. 
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: