Mh Jaji kiongozi mahakama kuu Fakih Jundu akitoa salamu.
Mpiganaji
wa Mjengwa Blog na Kwanza Jamii, Lukelo Mkami Mwipopo ambaye ni mtoto
wa mdogo wa Marehemu, Marehemu Ben Mkami Mwipopo akisalimiana na watoto
wa marehemu mara baada ya mwili wa marehemu kuwasili kijijini Ibatu
wilayani Mufindi tayari kwa mazishi
Mjane wa marehemu Jaji mstaafu akifarijiwa ndugu zake walipo wasili na mwili wa Marehemu Kijijini Ibatu
.
Askari
wakitoa heshima mbele ya kwa kupiga risasi ewani baada ya kukamilisha
kuweka mwili wa marehemu kwenye nyumba yake ya milele
Sehemu ya watu walioshiriki ibada ya kumuombea marehemu
0 comments:
Post a Comment